Showing posts with label UTANI. Show all posts
Showing posts with label UTANI. Show all posts

Sunday, July 10, 2016

GIRLS IS LIKE INTERNET VIRUS



Girlfriend is like internet VIRUS.
She will ENTER your life,
SCAN your pocket,
TRANSFER your money,
EDIT your mind,
DOWNLOAD her problems,
DELETE your smile
&
HANG your life.
So avoid your girlfrnd & send her number to ME
Bcoz...i'm a professional ANTIVIRUS...😀😀😀😀😀😀😀😀




Saturday, July 9, 2016

USILETE UTANI KWENYE MAPENZI WEWE



*USILETE UTANI KATIKA MAPENZI*
_Mdada mmoja alitaka kujua kiasi gani anapendwa_
_na mume wake, hivyo akataka kujua mumewe_ _atafanya nini endapo ataamua kuondoka na_
_kumuacha!_
_Mwanamke huyo akaamua kuandika barua_
_inayosema *"Samahani mume wangu*,_ _*nimeamua*_
_*kuondoka na kwenda kuanza maisha mapya mbali*_
_*na wewe"*Barua hiyo akaiweka juu ya meza iliyokuwa_
_chumbani._
_Baadaye jioni, muda wa Mumewe kurudi_
_mwanamke huyo akajificha chini ya uvunguni_ _wa_
_wakitanda mule chumbani Mume alipoingia_
_chumbani akakuta ile barua juu ya meza,_ _akaisoma_
_kisha, akaandika maneno fulani kwenye ile ile barua,_
_halafu akaanza kuimbaimba kwa furaha huku_
_akipiga milunzi na akiwa anavua nguo.Akapiga_ _simu_
_na akasikika akisema hivi_ _*"hello mpenzi, nina raha*_
_*sana leo.. yule mwanamke nuksi ameondoka*_ _*mwenyewe bila kumfukuza*_
_*nakutuachia uwanja, jiandae*_
_*nakuja*~"Muda huo huo Mume akaondoka.~_
_Mwanamke alipokuwa uvunguni akawa analia na kutokwa na machozi akaamua kutoka_
_lakini amenyong'onyea na amelowa mashavu kwa_
_machozi._
_Akasogea pale ilipo barua na akataka kujua_
_mumewe aliandika kitu gani kwenye ile barua._
_Akakuta maneno haya *"nimekuona miguu yako*_
_*uvunguni tafadhali andaa chakula nina njaa sana*_
_*mumeo, ila nimetoka kidogo nafuata maziwa*_
_*nilisahau kupitia. Nakupenda mke wangu..*_
😀😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
_Hivi nani kampata mwenzakee_
_Km umeipenda plz share na mwenzako ujumbe aupate_
_Nimeipenda_