Saturday, July 9, 2016
NAOMBENI MSAADA JUU YA HILI
Mimi ni mdada na ninamwanaume wangu nileyekuwa naye kwa muda wa miezi sita sasa ninampenda sana lakini kuna jambo linalonitatiza mwanaume huyu jamani hachoki kabisa katika kufanya mapenzi yani kwa siku anaweza kwenda hata mara tano na kesho pia, na hata wiki nzima yeye haoni cha ajabu..
jamani huu sio ugonjwa? huyu mwanaume ni mzima kweli? siku nyengine hata nikiwa katika hedhi anaomba nimpe anachoniambia nikwamba nikanawe halafu yeye atavaa condom ili aendelee, nimemueleza shangazi yangu mmoja akaniambia anaweza kuwa na jini la mahaba kwahiyo ni afadhali tu niachane naye..
kwa kweli nampenda sana lakini hili jambo lake silielewi kabisa, maana mara nyingi mimi nakuwa nimeshachoka nafanya tu kujikaza ili afike kilele na atoke juu yangu, yani mpaka hamu inaisha kabisa...
Labels:
TENDO LA NDOA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
pole
ReplyDeleteUshuhuda
ReplyDeleteNilivunjika kabisa uhusiano wangu ulipoisha. Niliamini kweli nimepoteza upendo wa maisha yangu milele. Kisha nikampata Dk. Dawn, na kila kitu kilibadilika.
Kwa fadhili, hekima, na mwongozo wenye nguvu, alinirudishia upendo ambao nilifikiri umetoweka. Leo, tuna furaha zaidi kuliko hapo awali!
Dr. Dawn kweli aligeuza machozi yangu kuwa furaha.
Dk. Dawn Anaweza Kukusaidia Na:
✅ Maneno ya mapenzi
✅ Tahadhari za Ujauzito
✅ Kurejesha Ndoa/Mahusiano
✅ Dawa za mitishamba kwa VVU, Ugonjwa wa Figo, Magonjwa ya Moyo, Maambukizi na mengine mengi.
📧 Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
📞 Simu/WhatsApp: +2349046229159
Usiteseke kimya kimya. Dk. Dawn anaweza kurudisha furaha katika maisha yako!